Universities Ranking
Karibu tena kwenye jukwaa hili na leo nimeona tuangalie orodha ya vyuo vikuu bora kwa mwaka wa masomo 2017/2018.
- Majarida na vitabu vya kisomi vilivyochapishwa
- Maoni ya wasomi pamoja na waajiri
- Ushiriki wa vyuo vikuu katika ngazi ya kimataifa
Harvard University |
Baada ya kuangalia mambo hayo, orodha ya vyuo vikuu bora duniani kwa mwaka 2017/2018 ni kama ifuatavyo (10 bora tu) :
- Massachusetts Institute of Technology (kutoka Marekani)
- Stanford University (kutoka Marekani)
- Harvard University (kutoka Marekani)
- California Institute of Technology (kutoka Marekani)
- Cambridge Univesity (kutoka Uingereza)
- Oxford University (kutoka Uingereza)
- University College of London (kutoka Uingereza)
- Imperial College of London (kutoka Uingereza)
- Chicago University (kutoka Marekani)
- ETH Zurich (kutoka Uswisi)
Wahitimu wa Makerere University |
Kwa upande wa bara la Afrika, ifuatayo ni orodha ya vyuo vikuu bora kabisa kwa mwaka 2017/2018:
- University of Cape Town (nafasi ya 191 kwa ubora duniani)
- Stellenbosch University kutoka Afrika ya Kusini (nafasi ya 361 duniani)
- University of Witwatersrand kutoka Afrika ya Kusini (nafasi ya 364 duniani)
- The American University in Cairo kutoka Misri (nafasi ya 395 duniani)
- Cairo University (nafasi ya 481 mpaka 490 duniani)
- University of Pretoria kutoka Afrika ya Kusini
- University of Johannesburg kutoka Afrika ya Kusini
- Ain Shams University
- Rhodes University kutoka Afrika ya Kusini
- University of Kwazulu-Natal
- Alexandria University (Misri)
- Al-Azhar University
- Makerere University (Uganda)
- Northwest University
- University of Mohammed V de Rabat (Morocco)
- University of Ghana
- University of Nairobi
- University of Western Cape.
Hope Umeenjoy kusoma thread hii, shukrani kwako. Usisahau kukoment, na kupenda page yetu ya facebook @thefontyn.
0 comments:
Post a Comment
Karibu Uchangie Hapa. Plant and grow creative.