Robert Gabriel Mugabe
Robert Gabriel Mugabe kwa sasa ndiye rais mwenye umri mkubwa kuliko marais wote duniani, akiwa na miongo 9, mzee huyu kwa kweli amekula chumvi nyingi sana. Kilichonivutia sio umri wake mkubwa bali ni elimu yake. Mhe.Mugabe ndiyo rais mwenye elimu kubwa kuliko wote mpaka sasa akiwa na shahada 18 tofauti tofauti na alizozipata kutoka katika vyuo mbalimbali duniani.
Robert Gabriel Mugabe |
Mpaka sasa Mugabe ana degree 18 ambazo kati ya hizo:shahada 6 ni za distance learning na mbili akiwa gerezani. Baadhi ya vyuo ambavyo Mugabe amepatia hizo shahada ni:
- University of London
- Fort Hare University kutoka Afrika ya Kusini
- Bachelor of Arts (History and English)
- Bachelor of Administration
- Bachelor of Education (kwa wakati fulani Mugabe alikuwa mwalimu)
- Bachelor of Laws from University of London
- Masters of Laws from University of London
- Master of science in Economics from University of London
- Waziri mkuu wa Zimbabwe (1980 - 1987)
- Katibu mkuu wa Non-Aligned Movement (NAM)
- Mwenyekiti wa 13 wa Umoja wa Afrika
Huyo ndo Mzee Mugabe, akiwa na umri wa miaka 93 bado ana nguvu za kugombea uchaguzi unaofuata wa Zimbabwe. Ni kiongozi wa mfano kwa jamii ya Afrika.
Thank You.
0 comments:
Post a Comment
Karibu Uchangie Hapa. Plant and grow creative.